mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,724
- 2,704
Waungwana,
Naibu Waziri Mr. Mulugo amewasilisha Taarifa Maalumu ya Wizara ya Elimu hivi punde bungeni Dodoma.
Kwa kifupi, daraja la SIFURI litaendelea kuwepo, na SI daraja la TANO kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu.
Kwa hiyo wale wote watakaoshidwa kupata daraja la I-V, watapata daraja la O, na wataendelea kutopatiwa VYETI.
Nawasilisha.
Naibu Waziri Mr. Mulugo amewasilisha Taarifa Maalumu ya Wizara ya Elimu hivi punde bungeni Dodoma.
Kwa kifupi, daraja la SIFURI litaendelea kuwepo, na SI daraja la TANO kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu.
Kwa hiyo wale wote watakaoshidwa kupata daraja la I-V, watapata daraja la O, na wataendelea kutopatiwa VYETI.
Nawasilisha.