Ufaransa nao wadai EU referendum

Ufaransa nao wadai EU referendum

Nataka kujua mwisho wa usalama wa pesa ya euro wataiondoa kwenye mzunguko ikiwa umoja huo utakata roho?
 
Urusi na China zinapata nguvu sasa. Lakini isiwe maigizo kwaajiri ya kuingiza mkenge viumoja vyetu vya hapa Afrika.
EU ni soko la Mchina pia (ingawa anaingiza bidhaa kwa mbinde sana), kwa hiyo kusambaratika kwa EU kuna athari kwa Mchina pia, hasa kiuchumi
 
Ufaransa, UK, Germany, the Netherlands, na Switzerland ndio nchi zenye uchumi mkubwa ndani ya EU, hii inaleta hali ya mashaka mbeleni.
Switzerland hawapo kwenye EU, wapo kwenye Schengen.Hizi nchi tajiri wananchi wake wanachukia EU kwa sababu ya migrants kutoka Europe mashariki, wananchi wamechech oka,kwa hizo nchi tajiri ikipitishwa referendum wote watavote kutoka, ulaya mashariki peke yao ndo watavote kubaki ,
 
Back
Top Bottom