kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Habari za saa hizi wakuu?
Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.
Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.
Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.
Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.
Asanteni sana nyote.
Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.
Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.
Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.
Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.
Asanteni sana nyote.