Ufanisi wangu kitandani umepungua. Je, nitumie mbinu gani kurudisha uwezo wangu?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,744
Habari za saa hizi wakuu?

Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.

Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.

Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.

Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.

Asanteni sana nyote.
 
mawazo unayo kibao, hela huna, Corona imetufungia pia km hako kabinti kamekukubalia kukumegea ghafla bila ajizi lazima mshangao wa kwanza tu haitasimama
inatakiwa kagomegome kwani hata viumbe km kuku mbuzi nk wanagomewa kwanza
 
Ni dhahiri hilo lilikuwa onyo kwako kuachana na vibinti vidogodogo vya wenzako wakati una mke na mtoto! Tatizo likijitokeza kwa mke wako hapo ndipo ulilete hapa.
 
Habari za saa hizi wakuu?

Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.

Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.

Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.

Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.

Asanteni sana nyote.

Fanya mazoezi kunywa maji mengi kabla hajaanza kugawa nje

Akianza na akapata mwamba msuguaji mzuri bro nakuapia utakufa kwa stress

Anza leo mazoezi nusu saa asubuhi na jioni kila siku

Achana na junk food Achana na sukari kunywa chai ya asali na tangawizi mwezi wa nne tar 15 njoo unishukuru..pia mtafute
Mzizi mkavu anayomengi yakusema

Niliyosema mimi ni yale ninayajua sababu ilishanitokea nikasahuriwa nikapona


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari za saa hizi wakuu?

Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.

Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.

Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.

Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.

Asanteni sana nyote.
Km huna msongo wa mawazo huenda una tatizo la kulegea mishipa ya nyonga.

Unatakiwa mazoezi ya Kegel. Yanaleta matokeo chanya sana iwapo utazingatia.
 
Habari za saa hizi wakuu?

Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe alikuwa anaomba poo.

Miezi ya hivi karibuni nimejikuta ufanisi wangu wa bed umeshuka sana, inaweza ikapita hata wiki sijamgusa wife na siku nikimgusa basi ni kagoli kamoja tu nakuwa niko hoi.

Sasa juzi kati hapa nimeaibika sana, kuna kibinti cha jirani nilikipanga kikanielewa. Siku naenda kukigonga dudu yangu ikakataa kabisa kusimama.

Wakuu hili suala kabla halijawa gumu zaidi, nawaomba mnisaidie either dawa or mbinu itakayonisaidia kurudisha heshima yangu ya kitandani.

Asanteni sana nyote.
Punguza minyama nyama na bia
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom