Elections 2010 Ufalme ulioanguka

Mlangaja

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
579
218
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka. PERESI, ufalme wako umegawanyika.
 
Back
Top Bottom