Ufahamu mgogoro wa BREXIT

Nimeupenda sana huu uandishi
 
Nami Kilaza nimeelewa , sijui kwanini vyuo vyetu havitufundishi kwa lugha hii, naamini hata leo elimu ya Anga ikifundishwa kwa Kiswahili, watanzania wengi tungesha wazidi NASA kwa ugunduzi, na Udaktari ungefundishwa kwa Kiswahili nadhani hata Mzee Majuto (marehemu) angekuwa Daktari na angekuwepo hadi leo.
 
safi
 
Sijui kwanini tunakubali kujifunza kichina au kirusi lakini siyo kiswahili. Hivi unadhani lecture zingekuwa hivi haya majina ya vilaza yangetoka wapi?! Dactari anasoma kwakizungu anamtibu mswahili, kwanini profesaz wetu muhimbili na vyuo vingine hawafundishi kwa kiswahili kama mlaji wa huduma atakuwa mswahili?! Ukiendelea hivi tukupe medali ya juu nchini.
 
Mkuu Malcom Mombasa,napenda kukumbushia makalaya yako ya CHICAGO kama ulivyoahidi hapo kabla. Ukitoa nitag tafadhali.
Asante sana.
 
Wewe ni Mwalimu Mzuri.
Nimeelewa kwanini sasa Uingereza wamekuwa kama wanaweweseka yani wanaona wanaadhirika mchana kweupe.
Yaani wanahaha sana. .I bet huu hautokuwa mwisho kwa Ma -pm kuidhinishwa Ku resign
 
Kwa kweli even me. .nilikuwa naona rangi rangi tu
ilifikia hatua nilikuwa naona habari CNN au BBC , neno BREXIT tu lilitajwa au kuonekana na-lose concentration maana nilikuwa sielewi kitu.
 
Hahaaa dah! !!! Jiwe liked your post
 
Kwa hiyo mtazamo wa wananchi ni kutorejea brexity. ....!!! So hawaoni kuwa taifa Lao linayumba sana kiasi kwamba wanazidi kuwapa chance Ujerumani na ufaransa ya kuwa nchi tishio Ulaya. . Cameron aliwaonya hawakusikia. ...

Ama kweli wanekuwa sikio la kufa
uko sahihi hata ukirejea katika speech yake ya juzi alisema anatekeleza kile waingereza wanakitaka
 
Sasa hivi ni kituko zaidi ya kichekesho, muomba talaka kakubaliwa aende zake...sasa wanarumbana wenyewe waomba talaka kwamba waondoke kwa masharti fulani, ila hawataki kuendelea kwenye ndoa. Mtalaka yeye anawaangalia tu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahaaa Aise. .mbona wanajilisha upepo kiasi hicho. ...Hiyo ndio ile inayoitwa ukitaka kupaa kwanza agana na nyonga. ..

Hawakufanya utafiti wa kutosha vyema kabla ya kutaka kuivunja hiyo ndoa. .... Miaka kadhaa iliyopita Uingereza ilikuwa ndio super power ya euro kwa kiasi kikubwa. ..Lakini kwa sasa Mataifa mengine kama ujerumani tayari yameshaanza kuirejesha heshima Yao uchumi -na kuwa miongoni mwa nchi zenye ushawishi mkubwa Ulaya. .hali hiyo inachangia kuifanya EU izidi kukua tu kiuchumi.
Sasa hivi ni kituko zaidi ya kichekesho, muomba talaka kakubaliwa aende zake...sasa wanarumbana wenyewe waomba talaka kwamba waondoke kwa masharti fulani, ila hawataki kuendelea kwenye ndoa. Mtalaka yeye anawaangalia tu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…