NHIF, NSSF na TAX ni lazima, yanaanza immediately,Naomba wakuu mnisaidie,je wakati wa kipindi cha matazamio makato gani huwepo? E.g bodi,tax,nhif,nssf?
NHIF, NSSF na TAX ni lazima, yanaanza immediately,
Lakini HESLB mnaweza ku negotiate na muajiri then ataandikia barua bodi nao watakupa muda kadhaa mara nyingi miezi mitatu then wanaanza kukata chao