Ufafanuzi wa kilichotokea Uchaguzi Meya Mwanza...

Duuuu cdm mshaniharibia week end yangu...naianza vibayaaaaaa, dawa ni kumlimboka tu huyo mkurugenzi wa mza! Hivi viongozi wetu mlipowatimua hao madiwani hamkujua kuna uchaguzi wa umeya?
 

Yes, wachangiaji wajikite katika point hhi. Kuna ukinzani mkubwa wa maamuzi ya Mkurugenzi hapa.
 
Huyo diwani aliehamishwa toka tar 14, je sheria zinaruhusu diwani viti maalumu kuhama toka kata moja kwenda nyinine,? Na kama hairuhusiwi kwa nini chadema wakubali kushiriki uchaguzi wenye mamluki.? Na huyo diwani wa mahakama ni haki yake kupeleka kura upande wowote ule maana yuko huru hivyo ni makosa kuhusisha na kushindwa kwa chadema....ni ajabu nyingine kwa chadema kuungana na cuf kwenye umeya wakati bungeni waliwakatalia kuunda kambi moja rasmi ya upinzani.. Hivyo kutegemea kura za cuf ilikua sawa na kucheza kamali..kwa kukubali kufukuza madiwani ambao ndio kura zako rasmi ilikua sawa na kukubali kupoteza kiti cha umeya.!
 

Soirry, huijui Chadema inasimamia nini! yaani madiwani mafisadi waachiwe tu eti kwa sababu itakosesha CDM umeya? Hayo mambo yenu ya CCM mkae nayo nyie wenyewe -- yaani mambo ya kulea mafisadi. na ndiyo maana mnaporomoka kwa kasi katika umma.
 
Hebu weka hesabu zako sawa aisee , umesema nyamagana ccm walikuwa 7, then wakahamisha viti maalum 1 kutoka ilemela kuja nyamagana, kwa maana hiyo jumla Yao hapa ni 8, ww hiyo hesabu ya 9 umenipata wapi, au hesabu ya mchina hiyo? Fafanua
Usikurupuke kuuliza maswali kwa jabza...Hebu soma vizuri ndo utaijua hiyo hesabu ikoje mkuu
 
mkuu huo ukinzani wa sheria chadema hawakuuona kabla ya kushiriki uchaguzi.??

CDM wameona ni bora waache uchaguzi ufanyike halafu ndiyo waende mahakamani. Yaani ni lazima process ikamilike in full kwanza ili wawe na kitu concrete cha kukipigana nacho. That's how CDM works!
 
Haya nenda chooni ukapunguze hilo zigo...
 

CCM wameona ni bora waache uchaguzi ufanyike halafu ndiyo waende mahakamani. Yaani ni lazima process ikamilike in full kwanza ili wawe na kitu concrete cha kukipigana nacho. That's how CDM works!

Umemjibu vizuri kabisa! Kwa mfanio unapodai malipo fulani, unaweza kupokea kile utakachopewa halafu unaenda mahakamani iwapo hujaridhika! CCM mnashangaza kweli kweli.
 
Yanamwisho haya!Nani alitegemea uelewa huu wawatanzania tena kwahara namna hii japo sio wote!Nakwambia wanasiasa wajipange vizuri kisera nautekelezaji 2015!Kama wanabisha wajikumbushe zomezomea yahapa karibuni mkoa huohuo!!
 
Kidogo nimefunguka! Ila kuna kitu bado kinanitatiza sana!
Na ngoja ntarudi baadae na nitasema tu!
Kwani hili la ccm sasa inanitatiza sana!
 
hata hivyo ccm wangeshinda. sababu ccm walitakiwa wawe na kula 10 dhidi ya 9 wa chadema. je huyo diwani wa Ilemela asingekuja chadema wangeshinda?. bila shaka wangelingana kura ambapo mkurugenzi ambaye ni msimamizi wa uchaguzi ingemlazimu kupiga kura na angeipigia ccm bila shaka. Tukubali tu kwamba chadema tumeshindwa. Tujipange upya kimafia zaidi. mia
 

Nifafanulie hapa mkuu,
Ilemela na Nyamagana zote ziko ndani ya Mwanza,
So any movement within these districts will not affect the entire total number of madiwani within Mwanza, au ikoje hii?
Mtu akitoka ilemela akahamia Nyamagana itaathiri vipi jumla ya madiwani wa Mwanza?
Ufafanuzi please!!
 
Naomba kuuliza jamani ikiwa Chama Kinakuwa na Madiwani wengi lakini Umeya umechukuliwa na chama chenye madiwani wachache je hicho chama kilichochukua umeya kinanufaika na nini wakati inawezekana katika maamuzi kikapata pingamizi kutoka upande wa pili?
 

Duh! na hilo likitokea sijui CCM wataambulia mameya na wenyeviti wangapi. Labda nape aweza kutupa mwanga!
 
Soirry, huijui Chadema inasimamia nini! yaani madiwani mafisadi waachiwe tu eti kwa sababu itakosesha CDM umeya? Hayo mambo yenu ya CCM mkae nayo nyie wenyewe -- yaani mambo ya kulea mafisadi. na ndiyo maana mnaporomoka kwa kasi katika umma.

sasa kama chadema wanakuza demokrasia, kwa nini mlalamike kushindwa wakati baadhi ya kura mmejipunguzia wenyewe kwa kutimua madiwani....mimi naamini sababu ilikua moja tu... "Chadema tumeshindwa uchaguzi sababu ya mgogoro na baadhi ya madiwani wetu" hizo zingine mbwembwe tu.
 

CCM wameona ni bora waache uchaguzi ufanyike halafu ndiyo waende mahakamani. Yaani ni lazima process ikamilike in full kwanza ili wawe na kitu concrete cha kukipigana nacho. That's how CDM works!
Una-mix madesa mkuu.
CCM au CDM?
Mwanzo umeanza vibaya, but ukamalizia poa.
 
Nimejiuliza hili swali sina majibu ya uhakika.
CUF na CCM wamekuwa na Umoja usioelezeka kwenye masuala mbalimbali ya Utawala wa Taifa hili. Kimsingi maamuzi yao yamekuwa yakiwa kwenye Jihad kuu ya kupingana na CHADEMA kwa nguvu zote.
Sera za CHADEMA ziko tofauti sana na CUF na CCM. Kitendo cha Vyama hivi viwili CUF na CCM kuungana kwenye Maamuzi Muhimu ya kitaifa inaonyesha mkanganyiko mkubwa kwenye Demokrasia. Haijulikani bado kama CUF ni chama cha Upinzani au ni Chama Dada cha CCM. CUF imeungana na CCM kuipiga vita CHADEMA popote nwenye ngazi mbali mbali.

Nimejiuliza hivi haya wanayofanya ni kwa faida za nani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…