Naombeni Msaada wa kueleweshwa kuhusu Upendo wa Mungu!
Hivi Mungu anatupenda wakati gani?
Je anatupenda wakati tupo hai au ukishakufa?
Maana nimekua nikihudhuria mazishi na kumsikia mchungaji/padre anamzungumzia marehemu
sisi tulimpenda ila Mungu amempenda zaidi!
Je Mungu anakupenda hadi ukiwa umekufa?
Vipi pale mtu anaposema dah! aisee Namshukuru sana Mungu nimepona(sijafa) katika hii ajali!
Je hapa Mungu anakua hajakupenda bado kwa sababau hujafa au?
Naombeni ufafanuzi.
Hivi Mungu anatupenda wakati gani?
Je anatupenda wakati tupo hai au ukishakufa?
Maana nimekua nikihudhuria mazishi na kumsikia mchungaji/padre anamzungumzia marehemu
sisi tulimpenda ila Mungu amempenda zaidi!
Je Mungu anakupenda hadi ukiwa umekufa?
Vipi pale mtu anaposema dah! aisee Namshukuru sana Mungu nimepona(sijafa) katika hii ajali!
Je hapa Mungu anakua hajakupenda bado kwa sababau hujafa au?
Naombeni ufafanuzi.