SIMEON KATATANAMA
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 479
- 277
Ni sababu zipi zinazopelekea taasisi ya Serikali kuamua baadhi ya kazi kutangazwa moja kwa moja kwenye media, na sababu zipi zinapelekea kupitishia tangazo utumishi? Mfano: wiki yapata 1 iliyopita MUHAS walitangaza nafasi za kazi direct gazetini na wiki hii wametangaza tena Post zingine kupitia utumishi. Mwenye uelewa anijuze tafadhali.