King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
Hivi hii imekaaje? Kesi inapelekwa mahakami halafu hakimu anasema "hautakiwi kujibu chochote kwa sababu mahakama hii haina uwezo kisheria kusikiliza utetezi wake" swali kama mahakama inajua haina uwezo kisheria kusikiliza kesi za aina hio,iweje dpp apeleke huko? Kwanin isiende next level moja kwa moja?
Wanasheria ufafanuzi.
Wanasheria ufafanuzi.