Ufafanuzi: Halima Mdee na wenzake waliingizwa Bungeni na Serikali ya CCM, hawakuingizwa na Ndugai. Hawatafukuzwa

Chama kinaelewa mchezo mzima.wasipokuwepo akina Halima bungeni Chadema wanapoteza kuwa chama kikuu cha uoinzani.Tuliopo nje ndio tinatoa mapovu.unavyoshauri vyote chama kinajua cha kufanya.
Uongo wako unakusaidia nini ?
 
Chama kinaelewa mchezo mzima.wasipokuwepo akina Halima bungeni Chadema wanapoteza kuwa chama kikuu cha uoinzani.Tuliopo nje ndio tinatoa mapovu.unavyoshauri vyote chama kinajua cha kufanya.
Sasa kwa nini mmekuwa mnamtwisha spika lawama za kuwakumbatia watu wenu
 
Swali langu la kwanza
Mchakato wa kuwafukuza kina Mdee ndani ya Chama ulikamilika kwa mujibu wa Katiba ya Chama
Jee Kikao cha kusikiliza Rufaa yao kwa nini hakijakaa mwaka wa pili xx
Jee kwa mujibu wa katiba yenu baraza kuu hukutana mara ngapi kwa mwaka
Unauliza maswali ya kipuuzi, wewe jiulize tu Nusrat Hanje atolewe gerezani usiku awahishwe kwenda kuapa ubunge, hiyo nguvu ni ya CHADEMA? Chadema wanaweza kutoa mtu jela usiku kwenda kuapa? Kama utapata jibu la "Chadema hawawezi",basi ujue ulikuwa mpango wa CCM kudanganya jumuia ya Kimataifa kuwa CCM wanafuata utawala wa Sheria kufikia ushetani walioufanya kwenye uchaguzi mkuu wa Oct 2020.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukiweza kunijibu swali langu hili utakuwa umeyapata majibu ya maswali yako:-
Ikiwa Baraza Kuu la Chadema Lina nguvu ya kuweza kuingilia Mahakama na kumtoa mtuhumiwa Nusrat Hanje gerezani tena usiku na kwenda kuhakikisha kaapishwa kuwa Mbunge. Je iweje lishindwe kutumia nguvu ile ile na kuhakikisha M/Kiti wake anakuwa Huru??
Kuna watu humu ukumbuke huwa wanalipiwa bando Lumumba kutetea ubwege, huyo NI mmoja wao. Nusrat Hanje alitolewa jela usiku kwenda kuapa ubunge, je, Chadema wanaweza kumtoa mtu wao jela usiku kwenda kuapa? Kundi la 19 ni kundi lililowekwa na CCM kudanganya jumuia ya Kimataifa kufikia ushetani wao walioufanya kwenye uchaguzi mkuu 2020.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Halima Mdee na Wasaliti wenzake 18 , akiwemo dada yangu Sophia Mwakagenda , Waliingizwa bungeni kiharamia na serikali ya Tanzania, serikali ya Tanzania na mfumo wake waliamua kufanya hivyo ili KUIDANGANYA JUMUIYA YA MADOLA NA MATAIFA WAFADHILI kwamba uchaguzi wa 2020 ulikuwa shwari na ndio maana bungeni wamo wapinzani, kuna hela nyingi ambazo Jumuiya ya Madola inatoa kwa nchi zenye mabunge ya kidemokrasia, hili ndio lengo la serikali ya Tanzania kumnunua kwa gharama kubwa na ya KUTIA AIBU Halima Mdee na wenzake.

Job Ndugai binafsi hakuwa na uwezo , mzuka wala utashi wa kufanya hivyo, Ndugai siyo aliyemtoa Nusrat Hanje Jela ili akaape , hiyo ni serikali yenyewe na mfumo wake, ndio maana hata baada ya Dr Magufuli kufariki, Yale Makubaliano ya Mfumo na Wasaliti kupewa Ukuu wa Wilaya yamedumishwa (nadhani mnanielewa), tena na Rais mpya kwa sababu serikali ya CCM haiendeshwi na hawa mnawaona wamevaa manguo ya kijani, wapo waendeshaji

Kwahiyo Halima Mdee na wenzake hawataondolewa bungeni kwa vile hawakuingizwa na Ndugai.

Nakaribisha maswali.


Kwa kuongezea tu: kuhusu viti maalum sheria/kanuni inataka kwamba kabla ya uchaguzi chama kipeleke orodha ya wanachama inaopendekeza kwenye viti maalum na baada ya uchaguzi NEC itachagua wabunge hao kufuata orodha hiyo kuanzia wa kwanza kadri chama kitakavyofanikiwa kupata wabunge wengi wa kuchaguliwa na idadi ya kura za rais.
Je kina Mdee ambaye alikuwa mgombea asingeweza kupendekezwa viti maalum ktk orodha iliyopelekwa NEC.
Nusrat Hanje pia alikuwa jela isingewezekana naye kuwamo.
 
Back
Top Bottom