Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,692
- 218,210
- Thread starter
- #41
Uongo wako unakusaidia nini ?Chama kinaelewa mchezo mzima.wasipokuwepo akina Halima bungeni Chadema wanapoteza kuwa chama kikuu cha uoinzani.Tuliopo nje ndio tinatoa mapovu.unavyoshauri vyote chama kinajua cha kufanya.