Taasisi ya wanataaluma wa kiislam tawi la tanga TAMPRO inatoa ufadhili katika shule yake ya wasichana PONGWE ISLAMIC GIRLS iliyopo tanga kwa watakao faulu mtihani wa usaili kwa kiwango cha A .kwa usaili na maelezo wasiliana na 0712048197,pia kwa wanaopenda kujiunga na shule hiyo kwa hali ya kawaida piga simu namba hiyhiyo..usajili wa shule ni s.4892..tunahifadhisha quran karibu sana