Uenyekiti CUF: Nani atamrithi Prof. Lipumba?

Uenyekiti CUF: Nani atamrithi Prof. Lipumba?

Hakuna Mwenyekiti asiye na ukomo CCM, ukomo wa kila Mwenyekiti unajulikana. Mfano Mh. Kikwete ukomo wake ni 2016, anayefuata ni Magufuli ambaye naye ukomo wake ni 2026.
Ikiwa tu atashinda na kuwa rais, nje ya dola hakuna uzoefu?
 
wa mbili havai moja poleni..ccm taratibuu mdogo mdogo jpj magufuli ikulu ya magogoni ukawa kwishinei lipumba hapo ulienda wrong part bora kagombee ubunge kupitia ubunge kupitia ccm
 
Hao ni viongozi wa milele,toka mwanzo wa vyama vyao hadi leo hawaachii ngazi ya uenyeviti. Ndo huwa natathmini kuwa hizi ni NGOs na si vyama vya siasa kwani hakuna utofauti ni taasisi ya mama Kijo bisimba alokaa pale toka 1974

Wewe -----, Mbowe ni mwenyekiti wa ngapi wa Chadema toka imeundwa?Je katiba yao inaruhusu hilo?
 
Back
Top Bottom