johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,929
- 141,894
Nakumbuka mwenyekiti wa CUF aliwahi kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti kisha akarejea kwa kasi ya mwanga kwa madai kwamba taratibu za kikatiba hazikutimilizwa ipasavyo.
Na hadi leo Prof Lipumba ndiye mwenyekiti wa CUF.
Nawaza tu kuhusu Spika aliyejiuzulu Job Ndugai.
Na hadi leo Prof Lipumba ndiye mwenyekiti wa CUF.
Nawaza tu kuhusu Spika aliyejiuzulu Job Ndugai.