Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,983
Salaam Wanajamvi.
Nimejaribu kutazama siasa za ndani za CUF hasa bara na kubaini kuwa hawana utaratibu wa kukuza na kuandaa vijana wanaharakati ili iwe hazina ya chama kama wenzao CHADEMA ambao wana vijana tele wenye uwezo wa kuitisha mikutano na kuhutubia.
Nani wata 'Takeover' wakongwe wakiondoka?
Tujadili.
Nimejaribu kutazama siasa za ndani za CUF hasa bara na kubaini kuwa hawana utaratibu wa kukuza na kuandaa vijana wanaharakati ili iwe hazina ya chama kama wenzao CHADEMA ambao wana vijana tele wenye uwezo wa kuitisha mikutano na kuhutubia.
Nani wata 'Takeover' wakongwe wakiondoka?
Tujadili.