Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Mbona obama siyo mkiti wa Demokrat lakini ni Rais na hawagombani na bosi wake?
Boss wa Obama ni nani? Mkuu Aweda
Mbona obama siyo mkiti wa Demokrat lakini ni Rais na hawagombani na bosi wake?
Wewe ni mwana CCM kweli?Inafaa Ndugu Kikwete apumzike sasa. Amelitumika Taifa kiasi cha kutosha. Kazi aliyofanya ni nzuri, lakini there is nothing to be gained kwa yeye kuendelea kuwa CCM Chairman. Kikwete ni spent force.
Nawasilisha hoja.
Wewe hukuiona heading niliyoiweka katika hii posting,''Nataka kwenda Dodoma kumgaragaza Jakaya Kikwete'',lakini mod. katika 'hekima' yake ameibadili,imekuwa ''Jakaya imetosha.'' It is what they call 'censoring' of The Press.[I call it the Jewish Conspiracy]
Andrew Nyerere
CCM sio kikundi cha wahuni tuna utaratibu wetu maamuzi hayafanywi na mjomba wala baba mkwe; wewe kama unataka kuingia kwenye kiminyano hujakatazwa fuata taratibu zinazohusika; inashangaza mtu mzima na wenye hekima kama wewe umejiingiza kwenye siasa za uzushi zinazofanywa JF; wewe kama umeona Jakaya ametosha bado kuna wanaccm wengi tu wanahitaji uongozi wake. CCM hivi sasa ipo njiani kuua siasa za makundi inakuwaje wewe unataka kuturudisha kwenye makundi? CCM sio chama cha kifalme kuwa mtoto Nyerere haimaniishi wewe ni kiongozi wa CCM; usijivunjie heshima yako; kama unataka kujiingiza kwenye siasa za CCM gombea kwa kufuata taratibu; hiyo ndiyo demokrasia tuliyofundishwa na Mwl, Nyerere (R.I.P). Mpaka sasa hivi CCM ndio chama tegemeo la watanzania; hivi vya ruzuku kama Chadema watanzania wameshavishtukia.
Chama
Gongo la mboto DSM
Inafaa Ndugu Kikwete apumzike sasa. Amelitumika Taifa kiasi cha kutosha. Kazi aliyofanya ni nzuri, lakini there is nothing to be gained kwa yeye kuendelea kuwa CCM Chairman. Kikwete ni spent force.
Nawasilisha hoja.
Sijawahi kuona mtu wa hovyo kama wewe!!
Kama ndiyo ubora wa wanaCCM huo basi chama chenu kimekufa kabisa!! ndio maana hata mwenyekiti akiwa na akili kama mbuzi kabisa nyie mnaona mzuri tu!!!
Nani kakwambia JF kuna siasa za uzushi! ndivyo mnavyo danganyana!! Wewe umeficha jina lako lkn Andrew yuko wazi na anauhuru kutoa maoni yake kama mtanzania yeyote yule na wala hajawalazimisha mahali popote kufuata maoni yake.
Jibu hoja.... mwenyekiti wenu dhaifu mno...acha kukimbilia kutukana Mtu ili ajisikie vibaya!! Hivi unaweza kumfananisha mtoto gani wa Nyerere na wa Kikwete kwa kiherehere na kujaa tuhuma za ufisadi?
Acha kuendekeza uchumia tumbo! Think!
Hivi Freeman Mbowe alishindana na nani katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA?.....Wewe ni mwana CCM kweli?
Maoni yako hayawezi kuwa ya dhati.
Tungependa kufahamu maoni hayo hayo juu ya Mzee Mtei na Mwenyekiti Mbowe wa CDM.
mkuu kwani hao ni CCM?Wewe ni mwana CCM kweli?
Maoni yako hayawezi kuwa ya dhati.
Tungependa kufahamu maoni hayo hayo juu ya Mzee Mtei na Mwenyekiti Mbowe wa CDM.
Mkuu akili yako safi? Jina langu Chama unataka nitumie jina gani za hilo? Mpaka leo hujajua JF ni kiwanda cha uzushi? Andrew ana uhuru wa kutoa mawazo si lazima nikubaliane naye; manayekubaliana naye ni nyie mashabiki wa siasa za uzushi; Andrew kama yeye ni mwanaccm anatakiwa ajue taratibu za chama; kama ana maoni ya kubadilisha utaratibu wa kupata mwenyekiti anatakiwa atumie vikao halali vya chama kupitisha mawazo yake sio kuja kupiga porojo JF. Nina wasiwasi kama kweli Andrew ni mwanachama wa CCM; wanachama tunafahamu utaratibu wa chama chetu.
Chama
Gongo la mboto DSM
Hivi Freeman Mbowe alishindana na nani katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA?.....
Nakumbuka Zitto alichukua fomu za kugombea, wazee wakamshauri ajitoe......
Sijui tatizo lilikuwa ni nini hasa....
Bado unatokwa jasho tu! lkn husemi wapi Andrew kasema anayaongea hayo kwakuwa yeye ni mwana CCM!? au kwakuwa ni toto wa Nyerere?
Pole sana, lkn ndiyo nchi ilipofikia hakuna ushabiki bila kufikiri, ukiongea pumba watu tutajua tu..na wewe utaishia kusema tunaongea uzushi!!
Think chama, kuwa huru bwana!!
Mkuu akili yako safi? Jina langu Chama unataka nitumie jina gani za hilo? Mpaka leo hujajua JF ni kiwanda cha uzushi? Andrew ana uhuru wa kutoa mawazo si lazima nikubaliane naye; manayekubaliana naye ni nyie mashabiki wa siasa za uzushi; Andrew kama yeye ni mwanaccm anatakiwa ajue taratibu za chama; kama ana maoni ya kubadilisha utaratibu wa kupata mwenyekiti anatakiwa atumie vikao halali vya chama kupitisha mawazo yake sio kuja kupiga porojo JF. Nina wasiwasi kama kweli Andrew ni mwanachama wa CCM; wanachama tunafahamu utaratibu wa chama chetu.
Chama
Gongo la mboto DSM
na ushabiki wako huwa unatoka wapi sasa zinapowasilishwa hoja za chama kingine na wewe kushabikia against wakati watambua kuwa hayo pia ni maswala ya vikao kwa chama husika. je hiyo kwako ndio siasa safi na ya Andrew inakuwa ya hovyo?
Habari za siku mkuu wangu MWMKumbe CDM chama cha upinzani, ambacha hakijawahi kuongoza nchi ndiyo kioo cha kujitizamia cha CCM!!!!
Huwezi kuwa rais kama siyo kiongozi wa chama. Kiongozi wa chama atakuendesha kama gari bovu