Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
Dakika chache zijazo, utapigwa mchezo wa Fainali ya Uefa Nations League, Spain Vs France katika dimba la San Siro pale jijini Milan, nchini Italy.
Ikumbukwe hii ni fainali ya pili, baada ya ile ya kwanza mwaka 2019 ambapo Ureno ilitwaa taji hilo!
Je nani kuibuka bingwa wa pili wa michuano toka ianzishwe? Karibuni wadau...
========= Matokeo======
France 2(Benzema, Mbappe) - Spain 1 (Mikel)
Ikumbukwe hii ni fainali ya pili, baada ya ile ya kwanza mwaka 2019 ambapo Ureno ilitwaa taji hilo!
Je nani kuibuka bingwa wa pili wa michuano toka ianzishwe? Karibuni wadau...
========= Matokeo======
France 2(Benzema, Mbappe) - Spain 1 (Mikel)