Messi Leo anacheza Middle ya kukaba mtu na Right Back! Wajerumani Pasi wanaweza mpira wa fujo wanaweza na mpira wa kunnyayua wanaweza Barca kazi wanayo labda wapate away goals ila 2-0 msifikiri itakuwa ya Milan kule Catalunya.
Bora useme wewe, tukisema sisi wengine tunaonekana hatujui soka. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi yao iliyopita dhidi ya PSG. One Man team lazima wachezee kichapo leo
Bora useme wewe, tukisema sisi wengine tunaonekana hatujui soka. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi yao iliyopita dhidi ya PSG. One Man team lazima wachezee kichapo leo