Wataala na wachambuzi wa mpira wanasema kwavile beki wa kati, Thiago Silva, na washambuliaji Zlatan Ibrahimovic na Ezequiel Lavezz, ambao wote walisajiliwa mwaka jana kwa gharama kubwa, wamekuwa mhimili kuisaidia PSG kupata mafanikio mpaka hatua ya sasa.