Wataala na wachambuzi wa mpira wanasema kwavile beki wa kati, Thiago Silva, na washambuliaji Zlatan Ibrahimovic na Ezequiel Lavezz, ambao wote walisajiliwa mwaka jana kwa gharama kubwa, wamekuwa mhimili kuisaidia PSG kupata mafanikio mpaka hatua ya sasa.
Kuna kila dalili kuwa Barcelona atafungwa leo, kwa sababu;
1/PSG watakuwa nyumbani.
2/PSG wana kocha mzuri sana kimbinu(Nakumbuka namna alivyomfanyia Pap Gardiola mwaka 2009 wakati huo Gus Hidink akiwa Chelsea)
3/PSG ilivyofanikiwa kupita hatua ya mtoano kwa kuitoa timu ngumu kwa mbinu bora za kocha.
4/PSG wana kocha mzoefu sana katika mashindano ya klabu bingwa Ulaya(European Speciality)
duu hawa psg ni noma..