Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,217
Inasikitisha sana.. Vip kuhusu walivyosema wanataka udom ndio ipande rank mpaka leo chali! Na pia Hata bodi ya mkopo inahusika hapa kwani wanafunz wanahitaji pesa pia za kujikimu.. Pia tatizo hatuboreshi vyuo vyetu, mpaka vianguke ndio tunakumbuka. Ila bado tu natamani nipangwe udsm ila TCU MPAKA LEO HAWAJATOA MATOKEO!