Iddimarisa
Member
- Jul 12, 2013
- 29
- 4
mtaarifu na mwenzako.. alamsekiiii wadau
vp kuhusu join instruction za DUCE maana nimeambiwa zimetoka lakini nimeingia kwenye website yao sijajua wapi zimekuwa located.
Applicants selected for admission into Dar es
Salaam University College of Education (DUCE) and Mkwawa University College of Education
(MUCE) should report directly to the college's campuses in Chang'ombe and Iringa respectively
on the same dates. Joining instructions and admission letters should be collected at the
University campuses where one is admitted. Joining instructions and other important
information can also be downloaded from the University website at www.udsm.ac.tz (go to the
Undergraduate Section)
kwa hyo fomu naichukulia kwenye website ya UDSM na syo ya DUCE.
website inakupa maelekezo tu jinsi ya kupata admition fomu na join instruction......ambazo zinatolewa katka office za vyuo kwa kila tawi
Yaani wale kila k2 wa mwsho,utasikia wanaachia 2nd batch mwisho wa mwezi.Hata mm celewi udom wanasubiri nn kuhusu admission letters&2nd batch
nimeona website ya UDOM haifunguki tangu jana,nahc wanaandaa.Hata mm celewi udom wanasubiri nn kuhusu admission letters&2nd batch
Hata mm celewi udom wanasubiri nn kuhusu admission letters&2nd batch