nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Wanafunzi wa chuo kikuu cha mlimani wanaokaa mabibo hostel na wale wa kampasi wameanzisha tena solidarity na maandamano yao yanalengo moja la kupinga matamko ya chooni,ya kukurupuka ,yakijinga ya shosti.kibonde dhidi ya madai yao ya msingi,maandamano yameanza muda wa saa 2330 pm na utawasikia wanaimba kibondeee kibondeee,na kama asipokuwa makini wanaweza kumuharibia hata kaukumbi kake ka-disko kanaitwa club le mambo kapo pale external,oooh hv jamani tumfanye nini huyu mnyama jamani?