Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
Kusema kweli hawakutakiwa kupoteza muda wao kuandamana kwaajili ya mtu ambae siye anaetoa maamuzi!Wang'ang'ane na serikali kwani kibonde sio msemaji wa serikali mpaka watumie nguvu kupingana na kauli yake!Hata hivyo labda kauli yake ina kaukweli ndani yake..na kama hawakubaliani nayo watumie mahesabu kuonyesha sio badala ya kuzunguka na gadhabu isiyo na maana!