UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

structuralist

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,230
Reaction score
909
Wakuu salama?
najua hii mada kuna wakati ilishajadiliwa humu ila kwakuwa bado hali ya vyoo ni mbaya sio vibaya tukiwauliza UDSM, je kweli usafi wa vyoo umewashinda?
Taasis kubwa kama UDSM inashindwa swala dogo tu la usafi was vyoo, hii ni aibu kubwa sana. Vyoo havina maji muda mwingi. Kwakuwa UDSM imepata uongozi mpya hivi karibuni, tunaamini kwamba uongozi huo utatatua changamoto hii na kuondoa sifa mbaya hii kwa chuo.
Nimeweka viambatanisho vya hali halisi ya vyoo, tena hapo leo hali ya vyoo inaafazali kubwa sana, maana kuna wakati hata kupiga picha huwezi.
 

Attachments

  • 20180114_171310.jpg
    20180114_171310.jpg
    117.1 KB · Views: 104
  • 20180114_171323.jpg
    20180114_171323.jpg
    64.1 KB · Views: 95
  • 20180114_171337.jpg
    20180114_171337.jpg
    87.2 KB · Views: 106
  • 20180114_171355.jpg
    20180114_171355.jpg
    156.9 KB · Views: 95
Hahaha, mkuu hili ni jambo la kawaida kabisa tena limefanywa kwa nia njema tu, hivyo hakuna shida.
Hahahaha elewa hata yule aliyesambaza yale manyufa ya Hostel za Dr Pombe alikuwa na nia njema kabisa kama wewe lakini alilala selo siku mbili
 
Wasomi hapo ni wachafu,wanashindwa Hata kujiongeza
Wanafunzi hapo mnatia aibu Syo kila kitu mfanyiwe .....ebbo

Ova
 
Umeshindwa kulipeleka hili suala kwenye ngazi inayohusika ndani ya chuo walifanyie kazi, sasa unalileta huku jf ili tuje tukufanyie usafi!
 
Back
Top Bottom