UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

UDSM, usafi wa vyoo umewashinda?

kule school of education
ndio SoED, pale ni pasafi muda wote. Labda kwa vile hakuna changanyikeni sana na wanafunzi.
Na kule vyooni wameweka matangazo ya kuwataka watumiaji wawe na ustaarabu, nadhani imesaidia sana.
 
ndio SoED, pale ni pasafi muda wote. Labda kwa vile hakuna changanyikeni sana na wanafunzi.
Na kule vyooni wameweka matangazo ya kuwataka watumiaji wawe na ustaarabu, nadhani imesaidia sana.
Vyoo vya Sr vikoje siku hizi..
 
ndio SoED, pale ni pasafi muda wote. Labda kwa vile hakuna changanyikeni sana na wanafunzi.
Na kule vyooni wameweka matangazo ya kuwataka watumiaji wawe na ustaarabu, nadhani imesaidia sana.
Yani mtu kufanya usafi paka aambiwe,alafu jitu zima kabisa yani.
 
Yani mtu kufanya usafi paka aambiwe,alafu jitu zima kabisa yani.
Watu wa usafi si wanalipwa kwa ajiri ya hiyo kazi, nadhan wasimamizi wao ndo wana matatizo.
 
ndio SoED, pale ni pasafi muda wote. Labda kwa vile hakuna changanyikeni sana na wanafunzi.
Na kule vyooni wameweka matangazo ya kuwataka watumiaji wawe na ustaarabu, nadhani imesaidia sana.
kula changanyikeni sio kubwa sana
 
Yani mtu kufanya usafi paka aambiwe,alafu jitu zima kabisa yani.
Kuna mwaka pale Ubungo (UBT) pale nje karibu na yalipokuwa yanatokea mabasi palikuwa na vyoo vya kulipia, nikaingia nikakuta mtu kapangusha mavi na kidole yaani kachora kama fundi ujenzi.
Nikatoka bila kujisaidia kwa sababu hakuna msala mgumu kujitetea kama wa kuchafua chooni, hata kama hujahusika utaonekana ndio mhusika mkuu.
 
Kuna mwaka pale Ubungo (UBT) pale nje karibu na yalipokuwa yanatokea mabasi palikuwa na vyoo vya kulipia, nikaingia nikakuta mtu kapangusha mavi na kidole yaani kachora kama fundi ujenzi.
Nikatoka bila kujisaidia kwa sababu hakuna msala mgumu kujitetea kama wa kuchafua chooni, hata kama hujahusika utaonekana ndio mhusika mkuu.
Kuna watu wana roho ngumu sana aisee.

Hali kama hiyo hata haja yenyewe inakimbia,inabidi usepe tu.
 
Wakuu salama?
najua hii mada kuna wakati ilishajadiliwa humu ila kwakuwa bado hali ya vyoo ni mbaya sio vibaya tukiwauliza UDSM, je kweli usafi wa vyoo umewashinda?
Taasis kubwa kama UDSM inashindwa swala dogo tu la usafi was vyoo, hii ni aibu kubwa sana. Vyoo havina maji muda mwingi. Kwakuwa UDSM imepata uongozi mpya hivi karibuni, tunaamini kwamba uongozi huo utatatua changamoto hii na kuondoa sifa mbaya hii kwa chuo.
Nimeweka viambatanisho vya hali halisi ya vyoo, tena hapo leo hali ya vyoo inaafazali kubwa sana, maana kuna wakati hata kupiga picha huwezi.
Poleee mpenda vyoo
 
Wakuu salama?
najua hii mada kuna wakati ilishajadiliwa humu ila kwakuwa bado hali ya vyoo ni mbaya sio vibaya tukiwauliza UDSM, je kweli usafi wa vyoo umewashinda?
Taasis kubwa kama UDSM inashindwa swala dogo tu la usafi was vyoo, hii ni aibu kubwa sana. Vyoo havina maji muda mwingi. Kwakuwa UDSM imepata uongozi mpya hivi karibuni, tunaamini kwamba uongozi huo utatatua changamoto hii na kuondoa sifa mbaya hii kwa chuo.
Nimeweka viambatanisho vya hali halisi ya vyoo, tena hapo leo hali ya vyoo inaafazali kubwa sana, maana kuna wakati hata kupiga picha huwezi.
Aibu tupuiuuu
 
Kuna watu wana roho ngumu sana aisee.

Hali kama hiyo hata haja yenyewe inakimbia,inabidi usepe tu.
Hujabanwa wewe, utakuwa ulikuwa unaenda huko msalani kwa kufuata ratiba tu. Ukiwa umevurugikiwa kisawasawa na Khali, huo uchafu, sijui michoro, utaiona baada ya kumaliza shughuli iliyokupeleka kule!
 
Mkuu, jukumu la usafi ni letu sote. Achana na tutorial ya leo asubuhi, badala yake mtafute kiongozi yeyote akupatie mops ukafanye usafi, wengine watakuunga mkono. Acheni usharobaro
 
Back
Top Bottom