Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Wanya porini utawajua tu hawana aibu hata kidogo.umeenda udsm kusoma au kunya?
Wanya porini utawajua tu hawana aibu hata kidogo.umeenda udsm kusoma au kunya?
Tatizo maji hakunawakati mwingine hata watumiaji pia ni hole -dirtier maana ukiangalia mabibo hostel walikuwa pia wanatumia kama watoto wa primary vile, ustarabu ziro.wabongo walio wengi hata uwatengenezee vizuri aje utakuta mtu kaingia yupo tungi anaweka mzigo pembeni au anatapika kwenye sink la kunawia. uwanja wa mchina watu walikuwa wanakojoa kwenye masink ya kunawia.
Hehe...aiseeumeenda udsm kusoma au kunya?
MmhWakuu salama?
najua hii mada kuna wakati ilishajadiliwa humu ila kwakuwa bado hali ya vyoo ni mbaya sio vibaya tukiwauliza UDSM, je kweli usafi wa vyoo umewashinda?
Taasis kubwa kama UDSM inashindwa swala dogo tu la usafi was vyoo, hii ni aibu kubwa sana. Vyoo havina maji muda mwingi. Kwakuwa UDSM imepata uongozi mpya hivi karibuni, tunaamini kwamba uongozi huo utatatua changamoto hii na kuondoa sifa mbaya hii kwa chuo.
Nimeweka viambatanisho vya hali halisi ya vyoo, tena hapo leo hali ya vyoo inaafazali kubwa sana, maana kuna wakati hata kupiga picha huwezi.
Vyoo vya Maktaba Mpya (iliyozinduliwa karibuni) havitamanikiWasomi tupeni mrejesho
Ova
na usafi unaweza fanyika ila watumiaji nao ni kazi tupuKUMBUKA KUNA WATU WAMEPEWA TENDA YA KIFANYA USAFI HAPO..
JE!? WAMESHINDWA KAZI???
AU HELA YA USAFI IMEPIGWA !!!
Hahah ni kweli ...na usafi unaweza fanyika ila watumiaji nao ni kazi tupu
KUNA MAJI YAKUTOSHA?? AU HUWA YANA KATA MARA KWA MARA!!??
USAFI HUWA UNAFANYWA BAADA YA MDA GANI???
JE KUNA VIFAA BORA VYA KUWASAIDIA WAFANYA USAFI KUFANYA KAZI ZAO KWA UFANISI???Watumiaji nao ni wachafu maana wengi wao wame zaliwa na kikulia mikoanSijui wanafeli wapi