UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)


Ahaaa sasa kwa mfano iktoka batch 2 itakuwa vp mana kwa nnavoyatazama hapa iyo admission inaonesha kila faculty capacity iko fully
 
Wana jf niangalizieni mdogo wangu maana atakufa kwa pressure S4224/0027/2012
 
Wana jf niangalizieni mdogo wangu maana atakufa kwa pressure S4224/0027/2012
 
msaada wakuu s2537/0179/2012 mana nilijaza hapo koz mbili ambazo ni electrical na civil
 
Alichagua becom/ na b.economy
Na Gpa ni 10 kwa masomo yake ya comb B+,B,B
 
Dah....udsm kwenye upande wa school of education wamefanya sivyo lkn yan mtu una merit ya 3.3 wanakuacha...yan mara hii ni distinction tu...sasa wenye credit wakasome wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…