gud sana, bro___ na kuingia hostel lazma mpaka regstration ....!! nikifka pale maeneo ntajitaidi niwe mtu wa pili kua regstrared kama sio mtu wa kwanza...��������
gud sana, bro___ na kuingia hostel lazma mpaka regstration ....!! nikifka pale maeneo ntajitaidi niwe mtu wa pili kua regstrared kama sio mtu wa kwanza...
daah hii mfumo wa gpa hata ciuelewi,, mi nashangaa tu nina 4.3gpa gs D, ph B+, ch B+, math A,, cielew chochote kile, mi home nawaambiaga div 1.5,,,,baas