Beyond imagination
Member
- Jun 29, 2015
- 24
- 3
n
Habari wana janvi naomba msaada kwa yeyote aliechaguliwa UDSM Round ya kwanza na akaandikiwa " Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU "
Kuna uwezekano kweli wa kupata admission? maana mimi nili-clear TCU lakini mpaka sasa jina langu halionekani chuoni na kwenye akaunt yangu bado inasoma vilevile.
Mie piaa muhanga bado account haijabadilika......bado tunasubiri tz ya viwandaHabari wana janvi naomba msaada kwa yeyote aliechaguliwa UDSM Round ya kwanza na akaandikiwa " Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU "
Kuna uwezekano kweli wa kupata admission? maana mimi nili-clear TCU lakini mpaka sasa jina langu halionekani chuoni na kwenye akaunt yangu bado inasoma vilevile.
Selection ResultsHabari wana janvi naomba msaada kwa yeyote aliechaguliwa UDSM Round ya kwanza na akaandikiwa " Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU "
Kuna uwezekano kweli wa kupata admission? maana mimi nili-clear TCU lakini mpaka sasa jina langu halionekani chuoni na kwenye akaunt yangu bado inasoma vilevile.
Selection Results
Congratulations!
Your application was successful and you have been selected to the following programme:
Bachelor of Science in Computer Science (UD034)
REMARKS: Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU
SELEECTED IN ROUND: 1
CONFIRMATION STATUS: - Confirmed to join University of Dar es salaam
sina presha! lazima waachie
Balaa mwaka huu.Hii mkuu ilikuwa lini au wameupdate soon maana mine last time nilicheki asubuhi
umefanyafanyaje mkuu?Selection Results
Congratulations!
Your application was successful and you have been selected to the following programme:
Bachelor of Science in Computer Science (UD034)
REMARKS: Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU
SELEECTED IN ROUND: 1
CONFIRMATION STATUS: - Confirmed to join University of Dar es salaam
sina presha! lazima waachie
jaribu kuchek tenaumefanyafanyaje mkuu?
tusaidiane!!!
Ninatatizo kama hilo pia wadau,,,Habari wana janvi naomba msaada kwa yeyote aliechaguliwa UDSM Round ya kwanza na akaandikiwa " Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU "
Kuna uwezekano kweli wa kupata admission? maana mimi nili-clear TCU lakini mpaka sasa jina langu halionekani chuoni na kwenye akaunt yangu bado inasoma vilevile.
Ninatatizo kama hilo pia wadau,,,
Nipo mkoani, cpo DarMkuu kama uko Dar naomba uende ukaulize TCU na UDSM kwa niaba ya tulio mbali. Pale UDSM wameshaanza kutoa admission letter kwa wanaofika ofisini, nadhani itakua ni nafasi nzuri ya kuwauliza
Nipo mkoani, cpo Dar