UDSM-Remarks: Continuing student...

UDSM-Remarks: Continuing student...

Kwa watakaokwenda TCU/UDSM kuulizia hili swala tunawaomba watuletee mrejesho
 
Mbona wameshatoa hiyo remark. Angalieni. Pia axmission forms zinatolewa
 
Endelea kusubiri mlango wa rehema haujafungwa. Ukishafungwa ndio utajua kuwa hukuchaguliwa chuo zilikuwa mbwembwe tu za kwenye account yako au la.
 
Jamani hata Mimi Nina tatizo kama hilo, hadi kufikia sasa nimeanza kuingiwa na wasiwasi juu ya mustakabali wetu, wengi tumesha CLEAR TCU, lakini mbona bado hatuondolewi hiyo status kwenye remarks hapo na muda unazidi kwenda ?
Hivi TCU hawajawapa tu mrejesho watu wa vyuo hadi sasa kuhusu hili kundi kweli !

Jamani wahanga wenzangu, naomba tushirikiane, kwa wale mliopo Dar naombeni japo wawili watatu muende TCU mkaulizie juu ya hatma yetu na pia mfike hadi Chuo (UDSM) mkaulize ili tujue tunasimamia wapi...

Tafadhalini sana mlioko Dar na mna tatizo hili mtusaidie na kutupa mrejesho kwenye Uzi wetu huu.

Habari wana janvi naomba msaada kwa yeyote aliechaguliwa UDSM Round ya kwanza na akaandikiwa " Currently a continuing student in another institution. Acceptance pending TCU verification and approval. Please contact TCU "

Kuna uwezekano kweli wa kupata admission? maana mimi nili-clear TCU lakini mpaka sasa jina langu halionekani chuoni na kwenye akaunt yangu bado inasoma vilevile.
Mlishawahi kusoma au kusajiliwa chuo kabla ya hii application ya mwaka huu?
 
Mlishawahi kusoma au kusajiliwa chuo kabla ya hii application ya mwaka huu?


Hapana hatukuwahi kusoma , tulichaguliwa mwaka jana ila hatukureport chuoni , na hii ishu tulisha clear TCU kitambo sana ila vyuo vingine DIT, MUHAS, ATC wao tayari walishatoa majina ya walio clear wenye ishu exactly kama yetu long ago. but UDSM cjui kuna agenda gani ya siri inaendelea.
 
Hapana hatukuwahi kusoma , tulichaguliwa mwaka jana ila hatukureport chuoni , na hii ishu tulisha clear TCU kitambo sana ila vyuo vingine DIT, MUHAS, ATC wao tayari walishatoa majina ya walio clear wenye ishu exactly kama yetu long ago. but UDSM cjui kuna agenda gani ya siri inaendelea.
Mara nyingi tatizo linakua hilo.. Yaan mwaka jana ulisajiliwa na hukwenda...ila kama uli clear basi haina tatizo ila ni vyema ukafwatilia pia kwa uhakika zaidi!
 
7cff76bafffa3729f70121f66fadad04.jpg
Mbona umesahau kufuta code yake mkuu. (UD012)
 
  • Thanks
Reactions: OKC
Back
Top Bottom