kapakatweKwahiyo..!
Unatiwa nini..!?kapakatwe
INGIA KWENYE WEB KILA KITU KIKO PALE MPAKA REGISTRATION FORMOya udsm wenzangu trh 8,tuna report na nn na sa ngp???
Kwahyo ile form ni lazma kwenda nayo trh 8INGIA KWENYE WEB KILA KITU KIKO PALE MPAKA REGISTRATION FORM
Taarifa zote kuhusu utaratibu wa kuripoti zitawekwa kwenye website ya chuo.Oya udsm wenzangu trh 8,tuna report na nn na sa ngp???
Utaratibu uliokuwepo sijajua kama wamebadilsha ila ulikua unatua chuo pale na vyeti vyako cha form four, six or result slip, cheti cha kuzaliwa na kitambulisho then pia kuna vijana wanaitwa ASK ME wamevaa karatasi zimeandikwa hivyo ukimuuliza atakupeleka kuchukua admission letter.Jamani kuna yeyote aliyeshatumiwa adimision letter
Pamoja brotherTaarifa zote kuhusu utaratibu wa kuripoti zitawekwa kwenye website ya chuo.
Oya REGISTRATION NUMBER INAKUAJEE KWA UDSMHaya,, vijana andaeni matranka,kwanja moja,jembe, godoro, tomato na suruali nyeusi kwa wavulana sare, panga moja na blanketi la kujifunika wakati wa baridi....duuh nilitaka nisahau soft broom na mopa kwa wasichana!!!! viatu vyeusi na soksi nyeupe!!!!!!! (JOKING JAMANI)
Taarifa zote kuhusu kuripoti UDSM zitapatikana katika website ya chuo na mengine mengiii... tulizeni mizuka kila kitu kipo kawaida sana... na nawatakia mafanikio mema katika masomo yenu maana wengi huenda kwa mzuka na kuishia kukimbia kwa hiari yao!!!
mkuu sasa unafikir utaenda nazo vp? ni lazima uziprint,ila admission leter utaipata huko2 chuo,kuanzia hiyo tareh ya orientation so fanya taratibu zote mapema.Samahan hizo fomu zao ukizidownload unazi print au
Oya REGISTRATION NUMBER INAKUAJEE KWA UDSM
Umenikumbusha miaka hio advanc hahahaha jembe, godoro, shati lazima liwe tomatoHaya,, vijana andaeni matranka,kwanja moja,jembe, godoro, tomato na suruali nyeusi kwa wavulana sare, panga moja na blanketi la kujifunika wakati wa baridi....duuh nilitaka nisahau soft broom na mopa kwa wasichana!!!! viatu vyeusi na soksi nyeupe!!!!!!! (JOKING JAMANI)
Taarifa zote kuhusu kuripoti UDSM zitapatikana katika website ya chuo na mengine mengiii... tulizeni mizuka kila kitu kipo kawaida sana... na nawatakia mafanikio mema katika masomo yenu maana wengi huenda kwa mzuka na kuishia kukimbia kwa hiari yao!!!
Oya inakuaje without FORM SIX CERTIFICATE Brother hautapokelewa auhRegistration number ipo kwenye admission letter ambayo utapewa ukiripoti hiyo tar 8. Andaa chochote kati ya result slip ya f6, certificate ya f4 au cheti chochote cha kukutambulisha. Mambo yapo systematically usiwe na wasi ndugu.
wew nendeni na vyeti vyote vya muhimu kam birth certificate,csee,acsee result slip izo joining instructions pamoja na forms za kujaza na adm.lettr utapata chuo siku mloambiwa mkaripoti so mjipangejoining instruction nitaipataje wadau..