Habari wadau..
Kiukweli nimeumia sana baada ya kuona huyu binti anavyofanya presentation kwenye seminar akiwa chuoni UDSM
Kweli lecture mzima unakubali na kumruhusu binti wa chuo kikuu ana present hivi mbele yako.. je ada anayolipa mzazi wa huyu binti anapata value for money kweli??
Zama za kulea ujinga zimeisha lazima tuambiane ukweli... mwanafunzi wa chuo kikuu cha taifa hawezi fanya presentation hivi kwa kweli... tazameni hata youtube muone wanafunzi wa vyuo vingine wanavyofanya presentation..
Baadae aki graduate msomi kama huyu anapewa kitengo sehemu na anachaguliwa kuwa mjumbe wa maongezi kwenye mazungumzo ya maana ya rasilimali za taifa na watu wa Barrick.. ( huu ni mfano)..
Ukweli chuo kikuu ndio roho ya taifa.. Lazima vitu vifanyike kwa umakini kuandaa nguvu kazi ya taifa..
Ndege, meli, umeme, computer na vitu karibu vyote duniani leo ugunduzi wake ulianzia vyuo vikuu...
Mwalimu aliesimamia hii seminar ukweli angetafutwa atujibu wazazi tunaolipa ada za watoto wetu.. kwamba haya ndio maarifa mnaowapatia watoto wetu kweli ..
Halafu wakikosa ajira mnawaambia wajiajiri.. kwa elimu ya aina hii mtu ataweza kubuni hata mradi wa maana na kujiajiri??
Kiukweli nimeumia sana baada ya kuona huyu binti anavyofanya presentation kwenye seminar akiwa chuoni UDSM
Kweli lecture mzima unakubali na kumruhusu binti wa chuo kikuu ana present hivi mbele yako.. je ada anayolipa mzazi wa huyu binti anapata value for money kweli??
Zama za kulea ujinga zimeisha lazima tuambiane ukweli... mwanafunzi wa chuo kikuu cha taifa hawezi fanya presentation hivi kwa kweli... tazameni hata youtube muone wanafunzi wa vyuo vingine wanavyofanya presentation..
Baadae aki graduate msomi kama huyu anapewa kitengo sehemu na anachaguliwa kuwa mjumbe wa maongezi kwenye mazungumzo ya maana ya rasilimali za taifa na watu wa Barrick.. ( huu ni mfano)..
Ukweli chuo kikuu ndio roho ya taifa.. Lazima vitu vifanyike kwa umakini kuandaa nguvu kazi ya taifa..
Ndege, meli, umeme, computer na vitu karibu vyote duniani leo ugunduzi wake ulianzia vyuo vikuu...
Mwalimu aliesimamia hii seminar ukweli angetafutwa atujibu wazazi tunaolipa ada za watoto wetu.. kwamba haya ndio maarifa mnaowapatia watoto wetu kweli ..
Halafu wakikosa ajira mnawaambia wajiajiri.. kwa elimu ya aina hii mtu ataweza kubuni hata mradi wa maana na kujiajiri??