UDSM mnaharibu future za wadogo zetu.

Huoni kuna watu hapo wana hadi 16 ya ishirini ya test?? Huoni kuna watu wana adi 8ya 10 ya quiz??
Ulitaka mwalimu awape mtuhani mrahisi ata wale ambao hawajujiandaa vyema wafaulu??
Hizo course work zimebalance mbona fresh
Matokeo ya form six yanaingiaje sasa hapo??

Dogo embu piga msuli usijidanganye na matokeo yako ya form six utakuja udisco.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hajui huyu kama ukianza chuo unaanza upya, sie Second best student wetu alipata 3 point 17, chuo alikua anasoma balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hizi coursework hakuna shida, wanafunzi wa kizazi kipya hawajali!

Nje ya mada: nilifikiri kuna shida maana ndo wanapotokea kina Dr Bana, Dr Bashri, prof Kitila, Dr Musiba.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kuna tatizo gani apo mbona wapo waliopata 30/40 walipataje unadhani kama sio juhudi kujituma na kufata kilichowaleta chuoni apo...wenye incomplete inawezekana hawajajaziwa baadhi ya test zao au marks za seminar kitu kinachokuwa solved kama wakipeleka scripts zao kwenye department husika na kujaziwa au wengine ndohvyo hawajafanya tests au quizzes.. Usikilaumu chuo mzee kilichotoa zaidi ya wanafunzi 10000 wenye akili timamu na walipitia misoto hyohyo cha msingi we komaa acha kulalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeelezea maelezo ambayo kila mtu anayajua boss, haaaaah haaaaah hata aliyeleta anajua,tatizo hajasema shida ni nini hapo.
Sijaelewa kunashida gani ......

40marks plus 60 UE =100

Course work :-
~10 Quiz
~20 Test
~10 Assignment

Sasa hujaelewa nini ????

Hata mimi nimesoma hapo UDSM na ndo hivyo sasa wewe swali lako lipi?

Au walivyojaziwa INCOMPLETE ????

Ndo mjue huko siyo secondary ukipewa Quiz fanya ukipewa test fanya pia au assignment fanya....

Kama hujafanya Assigment unataka uwekewe 0 hivi wewe hujui 0 pia ni namba huwezi kuwekea kwakuwa huja ifanyia kazi kupata hiyo 0 so matokeo yako ni incomplete. ...

Ukiwa UDSM fuata kilicho kupeleka siyo unakomaaa na UE ukadharau Course work ni bora upate 0 kuliko incomplete ....

NB.
0 its a number you have to earn it ..... soma wacha ujinga



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizo marks haziendani na matokeo yao ya form six.
Zitaendanaje wakati ni vitu viwili tofauti? Kwani ukifaulu mtihani mmoja ni lazima ufaulu mwingine? Bottom line Tanzania tunadhani elimu ni kuwa na vyeti vyenye marks nzuri kumbe elimu ni kupata uwezo wa kuweza kukabiliana na changamoto za maisha yetu.
 
ni kwamba huoni hizo incomplete mkuu,ni kwamba kwa sheria za vyuo vikuu,hao watu wote wenye incomplete wanatakiwa kudisco,sasa huoni kama hiyo idadi ni kubwa sana kwa hao vijana kudisco?
Sasa kama hawajafanya papers au assignment s marks zitatoka wapi?
 
Unalalamika kwa sababu course works ni kubwa sana?Ulitaka wapate 9/40 ?
 
We jamaa utakuwa unetumwa wewe

Izo course work zina shida gani??


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mi mwenyewe sijaelewa shida iko wapi hapo!
kama ni swala la incomplete ni wajibu wa mwanfunzi mwenyewe kuhakikisha kuwa ana coursework iliyokamilika na wala sio mwalimu, hizo assessment hazifanyiki kificho, tarehe inatangazwa ya kufanyika hizo assessment. Kuna wajanja wachache wanaona mambo kama hayajaenda sawa wanaamua kukacha test au assignment ili aje amtafute mwalimu kwa muda wake au mwalimu amtafute aje kukamilisha zoezi hilo, anakuja na sababu mfu kweli kweli. Mwanafunzi unapokosa test au assignment ni wajibu wako kufatilia na kuhakikisha kuwa unakamilisha hilo na uwe na sababu za msingi kwa nini ulikoosa kwenye first sitting, na sio wajibu wa mwalimu kukufatilia , yeye atakachofanya ni kutaarifu tu kuwa kuna baadhi hawajakamilisha coursework, full stop!. so mwanafunzi unachukua hatua. Tuache kuwalalamikia walimu kwasababu ya uzembe wetu wanafunzi.
 
Umeelezea maelezo ambayo kila mtu anayajua boss, haaaaah haaaaah hata aliyeleta anajua,tatizo hajasema shida ni nini hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo hujaelewa ....mimi nimemwelewesha asiwe na ile ideology ya cream ya taifa kupeleka Chuo ni upumbafu sasa wewe ni cream sijui tui la taifa sasa hufanyi course work ifaavyo usaidiwe vipi? .... Huyu anaona waliokuwa hapo ni vichwa hasaa ila anashindwa kutofautisha kati ya Chuo na Secondary .... chuo mambo mengi uhuru kashindwa kuutumia vizuri wengi wameishia mlimani city na bet station na kucheza PS .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada you are the highly stupid person at the University of Dar Es salam.
What's wrong with the course work that you want us to condemn.
We nenda Disko tu kama hujawa na carry over /discontinue at the end of the year.

Kosa jingine ni kushare unsharable instutional documents Ambazo huku hatuhitaji.
What sort of ethics do you have?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom