Hali ni mbaya udsm. Sewage system ndo hazifai. ..maji kukatika Kila siku...vyoo vya kukaa kwenye ma hall ya campus ni havifai toka enzi za mkoloni...hall 7 maji yamekuwa kitendawili....hizo picha ni baadhi tu....ila hali ni critical zaid ya hapo inavyoonekana hapo....
Uongozi wa wanafunzi ni very big disappointment.
Uongozi wa wanafunzi ni very big disappointment.