N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 8,209
- 12,510
Nimepita hapa UDSM Leo miundombinu mingi yakiwemo mapitio, ngazi, taa cafteria, halls za makazi ya wanafunzi hususani hall 1&2 ni mbovu na chafu, vyoo vingi ni vichafu sana na vibovu ukianzia na vile vya pale DARUSO..
Pia kwa namna nilivyoona hizi hall 1&2 ziko overpopulated na sina uhakika na uthabiti wake ukilinganisha umri wake..
Hii ni aibu kubwa kwa utawala wa Chuo Kikuu hiki kikongwe naam Tanzania yote! Kwani wageni wengi wanapita hapo kupata elimu, lakini pia usalama wa kiafya na uhai kwa wanafunzi ni equal to zero kutokana na hayo juu....
Cha kushangaza hapa kuna makampuni ya usafi hata hayafanyi usafi ipasavyo na utawala unashangaa tu!
Haya ma-hall hususani 1&2 nadhani si Salama kwa makazi ya wanafunzi, yavunjwe jengeni mapya asheeh!!.... Kwani nini msubiri maafa?
Hebu jengeni tena hizo ngazi za mapitio ya wanafunzi et al..
(Ngazi eneo la jirani na cafteria)
Hata vimilango vya kuunganisha kwa hela kidogo vinawashinda?
aibu aisee..
Vyoo ndani ya DARUSO (Case study);
Yaani hii sio kabisa UDSM nawashangaa pia serikali ya wanafunzi mnabong'aa tu na haya mnayaona hadi Kaka zenu tuje....ny'mba.f
Halafu pakeni hata rangi hayo majengo ni machafu sana.. UTADHANI HAMPO.. Mgaya nawe Rwekaza na utawala hapo, hebu rudisheni hadhi ya UDSM....The environment is more than nasty!
REKEBISHENI Agghh...dismayed alumni.
Pia kwa namna nilivyoona hizi hall 1&2 ziko overpopulated na sina uhakika na uthabiti wake ukilinganisha umri wake..
Hii ni aibu kubwa kwa utawala wa Chuo Kikuu hiki kikongwe naam Tanzania yote! Kwani wageni wengi wanapita hapo kupata elimu, lakini pia usalama wa kiafya na uhai kwa wanafunzi ni equal to zero kutokana na hayo juu....
Cha kushangaza hapa kuna makampuni ya usafi hata hayafanyi usafi ipasavyo na utawala unashangaa tu!
Haya ma-hall hususani 1&2 nadhani si Salama kwa makazi ya wanafunzi, yavunjwe jengeni mapya asheeh!!.... Kwani nini msubiri maafa?
Hebu jengeni tena hizo ngazi za mapitio ya wanafunzi et al..
(Ngazi eneo la jirani na cafteria)
Hata vimilango vya kuunganisha kwa hela kidogo vinawashinda?
aibu aisee..
Vyoo ndani ya DARUSO (Case study);
Yaani hii sio kabisa UDSM nawashangaa pia serikali ya wanafunzi mnabong'aa tu na haya mnayaona hadi Kaka zenu tuje....ny'mba.f
Halafu pakeni hata rangi hayo majengo ni machafu sana.. UTADHANI HAMPO.. Mgaya nawe Rwekaza na utawala hapo, hebu rudisheni hadhi ya UDSM....The environment is more than nasty!
REKEBISHENI Agghh...dismayed alumni.