UDSM kuna nini jamani?

UDSM kuna nini jamani?

Hiyo ndo hali ya aibu inayolikumba taifa, watalaam wazuri wasema ukweli wanasumbuliwa sana na siasa za matumbo za watalawa; LAKINI MPIGANAJI hawi mpiganaji mzuri na mkubwa bila kupigana, Dr A. atadhihirisha hilo.
Hii ndio Africa.ukisoma simulizi ya mwandishi mmoja maarufu wa afrika magharib,marehemu Ken Saro wiwa "Africa Kills Her Son" ataona mambo haya hayako hapa kwetu Bongo tu! Mabadiliko yaja,hata hivyo.
 
Hivi Mkuu wa Chuo, Dr Hawa Ghasia, atakua hajapita hapo na kalamu yake nyekundu kweli kama ambavyo alivyofanya kwa Prof Baregu??


Hivi Hawa ghasia ndo mkuu wa chuo? sikuijua hii....tusitarajie mapya hapo......
 
UDSM ni sehemu ya kuzalisha mafisadi wa Tanzania..

Dr Lwaitama muda wake wa kustaafu umefika kazi yake kulalamika tu kwenye TV.
Itakuwa umesoma chuo cha Green college cha pale Mwembechai au Madrasa maana akili yako fupi.
 
Itakuwa umesoma chuo cha Green college cha pale Mwembechai au Madrasa maana akili yako fupi.

hujakosea,hata mimi huwa zinanishangaza sana post zake huyo sijui ritz,anaweza kuwa ni mwehu kabisa!
 
Back
Top Bottom