Ktk taarifa ya habari ya jana mlimani tv nilimuona doctor mashuhuri na mtaalam bingwa wa siasa za africa na dunia kwa ujumla doctor Azaveli Rweitama akichambua kwa ufanisi mkubwa kuhusu kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.
Kama kawaida yake alichambua kwa ufanisi mkubwa sana, alisema mfumo mzima wa serikali ni mbovu kuanzia chini. Chakushangaza ni pale nilipoona maandishi haya kwenye jina lake, doctor Azaveli Rweitama mhadhiri mstaafu udsm!!!.
Hivi kwa nini wataalam ambao si wanafki wanaondolewa udsm? Tunajua labda mkataba wake umeisha lakini umri wake bado unaruhusu sana. Kwa siasa za Tanzania usishangae yakamkuta ya Profesa Baregu!, lakini naamini chuo kinachokuja juu sana Kwa sasa St Agustino hawatamwacha mtaalamu huyu kama udsm watamwacha bingwa huyu wa siasa.
Nakumbuka usemi wake mmoja aliowahi kuusema pengine ulikuwa shubiri kwa ccm, alisema hivi (MIMI NI CCM MFU! Mwanachama asiyelipia kadi!) tafakari maneno haya kabla ya kuchangia.