Soud Warrior
Member
- Jan 16, 2013
- 12
- 0
Click hapa
https://www.udsm.ac.tz/node/542
https://www.udsm.ac.tz/node/542
Nacte na udsm wanachanganya watu..
Majina meng hayapo
Au wametutosa!?
wanangu noma sana asee, yaani inakatisha tamaa. maana profile ziko okey sasa tatizo liko wapi??? napia second batch ya udsm sijaiona kabisa au ndo yetu sisi?
wanangu noma sana asee, yaani inakatisha tamaa. maana profile ziko okey sasa tatizo liko wapi??? napia second batch ya udsm sijaiona kabisa au ndo yetu sisi?
Nahisi kuna tatizo sehemu,hata mdogo angu nae anatatizo kama hilo,sijui udsm tatizo nn?!
Hata mm hiyo second Bach sijaona, Sasa sijui tufanyaje
Maybe udsm bado hawajapelekewa majina na nacte
Mpambalachuma : hapo ndo tunatakiwa tupeane mawazo wazee maana huu msiba ni wetu mwana,
Sumaibra: Nacte wao washafanya yao mwana majina yapo udsm tayari kazi ni kwao kuyachuja au wanatubeba wote, sasa nadhani chuoni wana mambo mengi au wamesahau km wameruka batch moja???
Mpambalachuma : hapo ndo tunatakiwa tupeane mawazo wazee maana huu msiba ni wetu mwana,
Sumaibra: Nacte wao washafanya yao mwana majina yapo udsm tayari kazi ni kwao kuyachuja au wanatubeba wote, sasa nadhani chuoni wana mambo mengi au wamesahau km wameruka batch moja???
majina hayajafika udsm...
Nacte wamepeleka tcu na udsm bado hawajapata..
Kuen wavumilivu
Waanga wa udsm tupo wengi humu mimi ni mmoja wapo .Nimechanganyikiwa
Click hapa
https://www.udsm.ac.tz/node/542