hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,919
kwa mfano mahindi ukilima kwenye kichuguu yanakubali sana hata bila kuweka mbolea.
Kwa kupitia hilo nilienda kijiji kimoja hivi hapa tanzania nikakuta wanatumia udongo wa kwenye kichuguu kama wanavyo tumia samadi. Na wanasema mahindi yanastawi vizuri kabisa.
Kwa kupitia hilo nilienda kijiji kimoja hivi hapa tanzania nikakuta wanatumia udongo wa kwenye kichuguu kama wanavyo tumia samadi. Na wanasema mahindi yanastawi vizuri kabisa.