UDOm

UDOm

mtoto mdg

Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
65
Reaction score
54
Wakuu habari zenu
Samahani kwa wale ambao washafanikiwa kuapply udom kwenye sehemu ya ku upload attachment unaweka zipi?
Je ni a-level certificate na o-level kwa kipengele cha certificate award au unaweka certificate zipi?
Anayejua plz naomba msaada wa maelekezo.
Namfanyia mdg ang.
 
Wakuu habari zenu
Samahani kwa wale ambao washafanikiwa kuapply udom kwenye sehemu ya ku upload attachment unaweka zipi?
Je ni a-level certificate na o-level kwa kipengele cha certificate award au unaweka certificate zipi?
Anayejua plz naomba msaada wa maelekezo.
Namfanyia mdg ang.
Uweke kitu kile kipengele unakiluka
 
Back
Top Bottom