Serikali ya wanafunzi UDOM Coed kupitia wizara ya habari, mawasiliano, wizara ya mikopo, na wizara ya katiba na sheria imewaomba wanafunzi wote wa kitivo cha elimu (coed) kukutana leo saa kumi jioni katika viunga vya block M ili kujua nini kifanyike ili waweze kupata fedha zao za kujikimu.