rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,236
- 24,008
hawa juzi juzi si walimchangia lowasa pesa akachukue fomu vp leo wanalalamika hawana pesa
Naskia wameanza kugoma uck huu ni kwel?
Hivi wabunge wa JMT nao hawajapa posho zao za vikao?Kwa nini wanafunzi hawa?CCM Mmechoka kama alivyosema Lusinde?