Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Nawaona wanachuo wa vyuo vyote ni washamba tu. Si wamwambie fisadi papa na jambazi sugu lowasa awape Hizo pesa yeye atazirudisha kwa namna nyingine akiwa rais. Usikute madai ya wanafunzi hayafiki hata bilioni moja kitu ambacho ki kidogo sn kwa huyu mbwa mnunuzi wa uongozi.