UDOM wamesogeza kufungua chuo hadi Nov. 14

UDOM wamesogeza kufungua chuo hadi Nov. 14

THANKS GOD KWA HILI


Furaha na amani kwangu na kwa wengine kwani Mungu amesikia kilio chetu na ninahisi kabisa kusogeza mbele muda wa kuripoti nafikiri ni kuipa nafasi board ifanye yake,Mungu saidia tupate fedha tukasome kwa amani na utulivu.

Bodi Kuipa Nafas Ifanye Yake.Unamaanisha Kwamba Mikopo Wanapewa Wana Udom Tu?..Manake Vyuo Vngne Hawajasogeza Ni Udom Pekee.
 
Bodi Kuipa Nafas Ifanye Yake.Unamaanisha Kwamba Mikopo Wanapewa Wana Udom Tu?..Manake Vyuo Vngne Hawajasogeza Ni Udom Pekee.

bila shaka kuna uhaba wa fedha bodi ya mikopo, ukizingatia kuwa wanafunzi wa Udom ni weng mno hivyo inabidi wasogeze mbele mda wa kufungua huku wakaendelea kujipanga maana wanajua hawa vijana wanaweza kyidhalilisha serikali maana huwa hawachelewi kutibua mambo
 
TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)

KUBADILISHWA KWA TAREHE YA KURIPOTI CHUONI

Chuo Kikuu cha Dodoma kinasikitika kuwatangazia Wanafunzi wote kuwa, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa Chuo tarehe za kufungua Chuo zimebadilishwa.

? Kwa wanafuzi wapya, Chuo kitafunguliwa tarehe 14 Novemba 2015 badala ya tarehe 31 Oktoba 2015

? Kwa Wanafunzi wanaondelea, Chuo kitafunguliwa tarehe 21 Novemba 2015 badala ya tarehe 7 Novemba 2015 iliyokuwa imetangazwa awali.

? Mitihani ya marudio (Suplimentary Examinations) itafanyika kuanzia tarehe 16 hadi 20 Novemba 2015.

Wanafunzi wote mnatakiwa kukamilisha malipo ya ada na malipo mengine kabla ya kuripoti Chuoni. Wanafunzi watakaoshindwa kukamilisha malipo hayo hawatapokelewa Chuoni.

Tunasikitika kwa usumbufu wowote utakaojitokeza

Imetolewa na Ofisi ya Mahusiano

29 Oktoba 2015
 
THANKS GOD KWA HILI


Furaha na amani kwangu na kwa wengine kwani Mungu amesikia kilio chetu na ninahisi kabisa kusogeza mbele muda wa kuripoti nafikiri ni kuipa nafasi board ifanye yake,Mungu saidia tupate fedha tukasome kwa amani na utulivu.

Km ni non priority sahau... Serikal haina hela.
 
pia wahadhiri na wafanyakazi wa chuo kikuu cha Dodoma wapatao 800 walishatangaza mgomo kuanzia tarehe 02 November kama madai yao hayatakuwa yamefanyiwa kazi kufikia mida huo, hivyo huenda hili nalo likachangia.
 
pia wahadhiri na wafanyakazi wa chuo kikuu cha Dodoma wapatao 800 walishatangaza mgomo kuanzia tarehe 02 November kama madai yao hayatakuwa yamefanyiwa kazi kufikia mida huo, hivyo huenda hili nalo likachangia.

Huenda hili ndo litakuwa ndo Tatizo lililosababisha kutofungua(Just Guessing)...Maana kama KWELI wahadhiri wana mgomo...Na wanafunzi nao bila shaka wangegoma afu...
Mgomo x Mgomo..=Timbwili
 
Back
Top Bottom