Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 881
- 303
Na waliochaguliwa chuo cha PATANDI nao wanapewa huo ufadhiri?
ni kwa chuo kikuu dodoma tu
Na waliochaguliwa chuo cha PATANDI nao wanapewa huo ufadhiri?
Mwenye kujua jamani kwa nini sisi Special Diploma hatupewi mkopo na Chuo kinafungua keshokutwa tu.
Mimi binafsi sijapatiwa mkopo majiuliza kwa hali hii tutaenda kweli bila mkopo?
kwa ambao hatuna hivyo vyeti watakubal kutupokea? Msaada plz.
Hivi kuhusu direct cost tumalipa au wanatuipia nazo.Nahitaji kujua kuhusu hilo wadau
Direct cost ni lazima , na ela ya UDOSO BILA KUWA NA BANK PAY SLIP ZAKE HAUTA SAJILIWA
kuna aliyepata mkopo special diploma?