Uswiss
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 842
- 2,160
Nipo njia panda wadau, nafanyaje hapo nilikua kwenye multiple selection, second around (nilichaguliwa chuo zaidi ya kimoja) mimi nilicomfirm UDOM na mpaka admission letter wakanitumia..
Nashukuru Mungu na mkopo nimepata awamu hii ya tatu lakini bodi wenyewe kwenye account yangu mkopo umekua allocated chuo kingine ( IAA) ambacho sikucomfirm.. mpaka sasa nilikua bado sijareport udom bado nipo home..
Ushauri wenu wadau hapo nafanye nini?? Je niende Tu IAA watanielewa maana vyuo vyote nilipangiwa programme(course) moja .. au inakuaje hapo maana hata sijui nianzie wapi.
Nashukuru Mungu na mkopo nimepata awamu hii ya tatu lakini bodi wenyewe kwenye account yangu mkopo umekua allocated chuo kingine ( IAA) ambacho sikucomfirm.. mpaka sasa nilikua bado sijareport udom bado nipo home..
Ushauri wenu wadau hapo nafanye nini?? Je niende Tu IAA watanielewa maana vyuo vyote nilipangiwa programme(course) moja .. au inakuaje hapo maana hata sijui nianzie wapi.