Wanagawa chuo me ninayo ya last year
umesha fika chuo kijana?? iko in hard copy??
jamani mbona kimya kwa mwenye uwezo atusaidie tuipate tukiwa nyumbani tukienda huko tusije sumbuka (prospectus)
nasubiria wadau na mm nmetafta nmekosa!! kama kuna anae hata scanned copy aweke
basi atatusaidia sana
watu mna viherehere humu..mtu hata hujachaguliwa then ushaanza mbwembwe za kuomba prospectus!!
Ndugu wana jf poleni kwa majukukumu,kwa yeyote mwenye uwezo wakutusaidia udom prospectus atuwekee hapa ili iweze kutusaidia kufahamu mambo ya chuo kiundani zaidi,natanguliza shukrani.
watu mna viherehere humu..mtu hata hujachaguliwa then ushaanza mbwembwe za kuomba prospectus!!
A university or school prospectus is a document sent to potential (prospective) students to attract them to apply for admissions. It usually contains information about the institution and the available courses, including advice on how to apply and the benefits of accepting a place.Hawa vijana wa BRN ni shidaaaaaaa