Udom:- mtazikalia transcripts zetu hadi lini?

Sep 27, 2011
19
3
Binafsi nashangwaza sana na utendaji kazi wa ofisi ya Admision & DVC- ARC chini ya Prof. Ludovick Kinabo, mana haiji akilini tangu June 2010 tulipo hitimu chuo pale Udom (first intake) hadi sasa hatujapata Academic Transcripts zetu. Si kana kwamba hawajatoa Transcripts kwa wahitimu wote, ila pamoja na kuchelewesha kuzipata hadi June 2011, zaidi ya wahitimu 100 na mimi nikiwemo, transcripts zetu zilikuwa na makosa ya aina mbalimbali, mfano zipo ambazo zilikosewa GPA, Jinsia ya mtu "i.e badala ya Female unawekewa Male", zingine hazikuwekwa picha, & zingine ziliwekwa picha ya watu wengine "tofauti na mwenye transcript". Hivyo basi ilitulazimu kuziacha hizo transcripts kwa ajili ya marekebisho, na tuka ahidiwa kuwa itachukua muda mfupi kufanyiwa hayo marekebisho, chakushangaza toka mwezi wa sita 2011 hadi sasa hakuna hata dalili za kuzipata hizo transcripts, tukifuatilia unapewa ahadi zisizo timia. Nadhani wahusika pale UDOM wana tufanyia haya wakijua kuwa hatuna forum ya kupeleka malalamiko yetu, chakushangaza hadi wanzetu tuliowaacha (waliohitimu mwaka huu) walishapata transcripts zao, hivi hata uki- apply sehemu either kazi au nafasi ya kuendelea na masomo mfano nje ya nchi na ukahitajika kupeleka transcript, mtu utatoa sababu zipi za kujitetea ktk mazingira haya? Jamani tunaomba ushauri wenu njia zipi au nini tufanye ili kulifuatilia suala hili kwa ukaribu!! Nawasilisha.
 
Nasema Udom hakina hadhi ya kuitwa University. Kila kitu pale ni shaghala baghala.

Kuanzia top management hadi techinical level wote hawajielewi i.e yaani wapo wapo. Howcomes mwanafunzi ameshamaliza data zake zipo kwenye database then unakosea wakati wa kujaza kwenye cheti. Anawarudishia bado mnamzungusha, hapo elimu mliyompatia mnataka akaitumie lini sasa.

Watu wengine wakipewa madaraka, akili huwa zinawaruka.
 
Nasema Udom hakina hadhi ya kuitwa University. Kila kitu pale ni shaghala baghala.

Kuanzia top management hadi techinical level wote hawajielewi i.e yaani wapo wapo. Howcomes mwanafunzi ameshamaliza data zake zipo kwenye database then unakosea wakati wa kujaza kwenye cheti. Anawarudishia bado mnamzungusha, hapo elimu mliyompatia mnataka akaitumie lini sasa.

Watu wengine wakipewa madaraka, akili huwa zinawaruka.

Mzee, pale udom mambo yao wanavyo yaendesha ni zaidi ya shaghala baghala, utazani hawana uzoefu na namna chuo kinavyo takiwa kuendeshwa. Yaani wanakera kupita maelezo!
 
Nasema Udom hakina hadhi ya kuitwa University. Kila kitu pale ni shaghala baghala.

Kuanzia top management hadi techinical level wote hawajielewi i.e yaani wapo wapo. Howcomes mwanafunzi ameshamaliza data zake zipo kwenye database then unakosea wakati wa kujaza kwenye cheti. Anawarudishia bado mnamzungusha, hapo elimu mliyompatia mnataka akaitumie lini sasa.

Watu wengine wakipewa madaraka, akili huwa zinawaruka.

hadi wewe unalalamika leo?
Serikali yetu sikivu leo imepiga kimya nini?
 
hadi wewe unalalamika leo?
Serikali yetu sikivu leo imepiga kimya nini?

kutoa vyeti serikali imehusika vipi.. Nyie ndio kila kitu mnailaumu serikali, ukishindwa kuongoza familia yako still utailaumu serikali.
 
Nasema Udom hakina hadhi ya kuitwa University. Kila kitu pale ni shaghala baghala.

Kuanzia top management hadi techinical level wote hawajielewi i.e yaani wapo wapo. Howcomes mwanafunzi ameshamaliza data zake zipo kwenye database then unakosea wakati wa kujaza kwenye cheti. Anawarudishia bado mnamzungusha, hapo elimu mliyompatia mnataka akaitumie lini sasa.
Watu wengine wakipewa madaraka, akili huwa zinawaruka.

leo mkuu umenikumbusha kitu cha EE105 .............................. unampata Rutatora?
 
Nasema Udom hakina hadhi ya kuitwa University. Kila kitu pale ni shaghala baghala.

Kuanzia top management hadi techinical level wote hawajielewi i.e yaani wapo wapo. Howcomes mwanafunzi ameshamaliza data zake zipo kwenye database then unakosea wakati wa kujaza kwenye cheti. Anawarudishia bado mnamzungusha, hapo elimu mliyompatia mnataka akaitumie lini sasa.

Watu wengine wakipewa madaraka, akili huwa zinawaruka.

Umelijua leo hili? Udini uliopo pale ndio unachangia haya ukiongozwa na top management ya hapo inayopata order kutoka juu kumbe wangejua wanaharibu chuo kwa hyo acha Ubishi wa kulaumiwa hapa ni Serikali kwann washindwe kuwafuatilia hawa viongozi? Taarifa wanazo kama serikali unafikiri wamechukua hatua gani? Ari wasiilaumu serikali wewe vp wewe au ndio uwezo wako wa kufikiri umefikia hapa?
 
Back
Top Bottom