Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma,Profesa Kikula,ameahidi kukifunga chuo ikifika tarehe hiyo bila bodi ya mikopo kutuma hela za chakula.Wanafunzi Udom walitakiwa kupewa hela hiyo tarehe 3.5.2012 lakini hadi leo bado hawajapata na hawajui inaingia lini.
Taarifa hizo zinakuja wakati kukiwa na taarifa kuwa hazina ya serikali imekauka na hakuna hela.Wanafunzi hapa Udom katika vitivo vyote hali yao kiuchumi ni mbaya sana,isipokuwa kitivo cha afya ambao wao muda wa kupewa bado kidogo.
Taarifa hizo zinakuja wakati kukiwa na taarifa kuwa hazina ya serikali imekauka na hakuna hela.Wanafunzi hapa Udom katika vitivo vyote hali yao kiuchumi ni mbaya sana,isipokuwa kitivo cha afya ambao wao muda wa kupewa bado kidogo.